Header AD

HISPANIA YAIBUKA KIDEDEA NA KUWA MABINGWA EURO 2012 WACHAPA ITALY 4-0

 Wachezaji wa timu Spain, wakishangilia ushindi wao wa mabao 4-0 dhidi ya Italy baada ya kumalizika kwa mchezo huo wa fainali uliochezwa jana usiku katika uwanja wa Olympic, huku Italy wakionyesha kuzidiwa kimchezo hadi mwisho.
 Fernando Torres, ambaye ni mmoja kati ya wafungaji kati ya mabao 4 (kulia) akibusu Kombe baada ya kukabidhiwa kombe hilo.
 Mario Balotelli, (kulia) akimtoka beki wa Spain wakati wa mchezo huo.
Balotelli, akiwa hoi bila kuamini kilichowatokea baada ya kumalizika kwa mchezo huo jana usiku.
Reviewed by crispaseve on 05:35 Rating: 5

No comments

Post AD