Header AD

KUTOKA KWENYE VIWANJA VYA BUNGE MJINI DODOMA LEO

 
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiteta na Mbunge wa Ludewa, Deo Filikunjombe kwenye viwanja vya Bunge Mjini Dodoma Julai 6, 2012.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiteta na Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongokwenye viwanja vya Bunge Mjini Dodoma Julai 6, 2012.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Reviewed by crispaseve on 08:23 Rating: 5

No comments

Post AD