RAIS KIKWETE AKUATANA NA MKUU WA MADHEHEBU YA SHIA ISAMAILI DUNIANI H.H. THE AGA KHAN IKULU LEO
Rais Jakaya Mrisho Kikwete, akipeana mikono na Mkuu wa madhehebu ya Shia, Ismailia duniani, H.H. Karim Aga Khan, wakati alipomkaribisha Ikulu jijini Dar es salaam leo kwa mazungumzo na baadaye chakula cha mchana.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete, akiwa katika mazungumzo na Mkuu wa madhehebu ya Shia Ismailia duniani,H.H. Karim Aga Khan, wakati alipomkaribisha Ikulu jijini Dar es salaam leo kwa mazungumzo na baadaye chakula cha mchana.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimkaribisha kwa chakula cha mchana Mkuu wa madhehebu ya Shia Ismailia duniani,H.H. Karim Aga Khan, na ujumbe wake wakati alipomkaribisha Ikulu jijini Dar es salaam leo kwa mazungumzo na baadaye chakula cha mchana
Reviewed by crispaseve
on
01:36
Rating:
Post a Comment