Rais wa Kamisheni ya Umoja wa Ulaya (EU), Mhe. José Manuel Barroso atembelea CCBRT
Spika wa Bunge la Tanzania ambaye pia ni mlezi wa Hospitali ya CCBRT Mhe. Anne Makinda akimkaribisha Rais wa Kamisheni ya Umoja wa Ulaya Mhe. Jose Manuel Barroso alipowasili Hospitalini hapo leo kujionea shughuli za
Mwenyekiti wa Bodi ya Hospitali ya CCBRT Dkt Wilbrod Slaa akifafanua jambo kwa Mkurugenzi wa Hospitali hiyo Dr Erwin Telemans (kati) pamoja na Spika Makinda.
Mkurugennzi akiwatambulisha wagonjwa.
Baadhi ya wanaopata huduma CCBRT.
Reviewed by crispaseve
on
04:22
Rating:
Post a Comment