TAMASHA LA SERENGETI FIESTA SOCCER BONANZA LAPAMBA MOTO MJINI MBEYA
Wachezaji wa timu ya mashabiki wa Barcelona wakichuana vikali na wachezaji wa timu ya mashabiki wa Chealsea katika bonanza hili timu hizo ndiyo zilizofungua dimba. |
Mratibu wa Serengeti Fiesta Soccer Bonanza Shafii Dauda akitoa maelekeza kwa timu za mashabiki wa Chealsea na Barcelona kabla ya kuanza kwa mtanange wao. |
Timu ya mashabiki wa Manchester Unitedi wakishangilia wakati wimbo wao ulipokuwa ukipigwa. |
Timu ya Mashabiki wa Chealsea nao wakiimba wimbo wao kabla ya kuanza kwa bonanza hilo. |
Timu ya mashabiki wa Arsenal wakiimba wimbo wao huku wakishagilia. |
Nao Barcelona hawakuwa nyuma wakirukaruka kwa furaha mara baada ya kupigiwa wimbo wao. |
Hawa ni Real Madrid kama unavyowaona katika picha wakishangilia na kucheza wakati wimbo wao ukipigwa. |
LiverPoool wakishangilia kwa nguvu wimbo wao. |
Mwamuzi wa mchezo huo akitoa maelekezo kwa timu za Chealsea na Barcelona kabla ya kuanza kwa mchezo huo. |
Timu zote zikiwa zimejipanga tayari kwa kupigiwa nyimbo zao kabla ya kuanza kwa bonanza hilo kwenye viwanja vya TIA Mbeya. |
Peter Kabaisa mmoja wa wafanyakazi akigawa jezi za kuchezea kwa makapteni wa timu hizo. |
Mshauri nasaha wa masuala ya ukimwi Flora George akitoa elimu kwa maadhi ya mashabiki waliofika katika banda la KIHUMBE |
Timu ya Bayern Munichen ikishagilia kwa nguvu kufurahia wimbo wao katika bonanza hilo. |
Reviewed by crispaseve
on
11:52
Rating:
Post a Comment