TASWIRA ZAIDI ZA PAMBANO LA WEMA NA WOLPER,WEMA AMKIMBIA MPINZANI WAKE
Refa John Chagu akiwainua mikiono juu mabondia Jacklen Wolper kushoto na Wema Sepetu kuashiria mpambano wao ni droo
WEMA NA WOLPER wakipozi kwa picha
Baada ya mpambano wawili hawo hawo wanaondoka eneo la tukio
Mabondia ambani ni wacheza filamu maarufu nchini Wema Sepetu kushoto na Jacklen Wolper wakioneshana ufundi wa kutupiana masumbwi wajkati wo Tamasha la vMatumaini lililofanyika jumamosi katika uwanja wa Taifa.Picha na www.superdboxingcoach. |
Reviewed by crispaseve
on
06:08
Rating:
Post a Comment