TIGO WAFANYA TAMASHA KUBWA JIJINI WASANII KIBAO WATOA BURUDANI
Profesa J, Wamitulinga Mchawi wa Rymes, nae hakujivunga ilimradi ni burudani na shwangwe mwanzo mwisho shoo ilianza saa 6:00 mchana hadi 12:00 jioni yani furahaaaaaaa teeeele. |
Hapa maji yakazidi unga walianza kusukuma watu wanyuuuma abisa hapa wimbi la msukumano ndio linaishia yani ilikuwa kama maji baharini yanavyofanya mawimbi na watu walikuwa vivyo hivyo. |
Sasa baada ya watu kutulia hapa anafanya vitu vyake. |
Lakini punde tu mkanyagano ukaanza tena. |
Hapa Kijana wa TMK Juma Kassim Kiroboto AKA Juma Nature, akikamua vilivyo kwenye tamasha hilo na kusababisha mashabiki kumng'ang'ania asishuke aendelee kutumbuiza. |
Farid Kubanda Fid Q, nae alikuwa semu ya burudani hiyo. |
Profesa J, Wamitulinga Mchawi wa Rymes, nae hakujivunga ilimradi ni burudani na shwangwe mwanzo mwisho shoo ilianza saa 6:00 mchana hadi 12:00 jioni yani furahaaaaaaa teeeele. |
Mzee wa kuongea na Mshua Eazy Busyness nae alipakua vitu vyake kwa mashabiki wake na hakuwaangusha kabisa aliwakilisha vilivyo tu. |
Mzee wa kamua baba kamua baaaaaa, kamua baba usitumie iliziiiiii! |
Mkanyagano ukaanza tena upyaaaaa. |
Lakini pia walikuwepo waliopanda juu ya minazi ili washuhudie. |
Roma Mkatoliki nae alikuwepo kwenye kimuhemuhe hiko na aliwakilisha vilivyo hakuwaangusha mashabiki wake. |
Reviewed by crispaseve
on
01:16
Rating:
Post a Comment