Header AD

VODACOM TANZANIA WAKABIDHI ZAWADI ZA LIGI KUU

Aden Rage Mwenyekiti wa Simba akipokea hundi ya Simba SC kutoka kwa mgeni rasmi Waziri Mkuu mstaafu Fredirick Sumaye katika hafla ya kukabidhi zawadi iliyofanyika kwenye Hoteli ya Double Tree jijini Dar es salaam, katikati ni mkuu wa masoko wa kampuni ya Vodacom Kevin Twisa. Picha Kwa hisani ya Bongostazblog

Mwesigwa katibu Mkuu wa Yanga akipokea hundi ya Yanga  
 kutoka kwa mgeni rasmi Waziri Mkuu mstaafu Fredirick Sumaye katika hafla ya kukabidhi zawadi iliyofanyika kwenye Hoteli ya Double Tree jijini Dar es salaam, katikati ni mkuu wa masoko wa kampuni ya Vodacom Kevin Twisa
Mzee Said wa Azam FC akipokea hundi ya Azam FC kutoka kwa mgeni rasmi Waziri Mkuu mstaafu Fredirick Sumaye katika hafla ya kukabidhi zawadi iliyofanyika kwenye Hoteli ya Double Tree jijini Dar es salaam, katikati ni mkuu wa masoko wa kampuni ya Vodacom Kevin Twisa
Katibu Mkuu wa TFF, Angetile Osiah kulia, katikati Mkuu wa Masoko Vodacom Tanzania Kevin Twisa wakiwa na Waziri Mkuu mstaafu Fredirick Sumaye
Wadau wa Yanga, katika picha ya pamoja na Mh Sumaye
Wadau wa Simba SC katika picha ya pamoja na Mh Sumaye
Reviewed by crispaseve on 11:51 Rating: 5

No comments

Post AD