RAIS JK AMPA SHAVU ASKOFU MKUDE KWA KUIKUTA MIAKA 25 YA UASKOFU
Rais
Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na Maaskofu
Katoliki wakati wa maadhimisho ya Sherehe za Miaka 25(Silver jubilee) ya
Uaskofu wa Askofu Telesphori Mkude wa jimbo Katoliki Morogoro
zilizofanyika katika Viwanja vya Seminary ya St.Peters mjini Morogoro
leo(picha na Freddy Maro
Reviewed by crispaseve
on
11:20
Rating:
Post a Comment