|
Mwanamuziki Diamond Platnumz akiwa katika maandalizi ya kuhojiwa ndani ya bongoo beats |
|
|
|
|
|
Nikiwa njiani |
|
Nashukuru nilifika on time |
|
Nikisalimiana na dada angu Sauda akiwa na team
yake ya Bongo beat tayari kabisa kwa kuanza kipindi |
|
…………………and action |
|
Tunaanzatu..Sauda akaniuliza swali la
kichokozi chokozi,basi me nacheeka |
|
Nikifafanua jambo |
|
Kisula bwana…ndiyo nini kupiga picha migongo |
|
Jua lilianza kufanya yake ikatubidi tuhamie sehemu yenye kivuri kizuri |
|
Siku zote huwa ni lazima nifikilie kwa umakini
kipi sahihi kujibu na kipi sahihi kuzungumza |
|
Siku zote kwenye matukio mhimu kama haya n
i lazima nipendeze na behind huwa
kuna mkono wa Baby,the one&only Penny…kwani
nani ananuna hapa?? |
|
Baada ya zoezi kumalizika Nikiwa na team ya Bongo beat |
Picha na Habari kwa hisani ya thisisdiamond.com
Post a Comment