TIGO YADHAMINI MASHINDANO YA NGALAWA DAR
Meneja wa Chapa ya Tigo, William Mpinga (katikati) akielezea katika
mkutano na waandishi wa habari, Dar es Salaam leo.kuhusu udhamini wa
Tigo katika mashindano ya Mashua yatakayofanyika Juni 8, mwaka huu,
kwenye Bahari ya Hindi Ufukwe wa Kijiji cha Msasani, Dar es Salaam.
Kushoto ni Makamu Rais wa Chama cha Mashua Tanzania (TSA), Phillimon
Nasari na John Chaluku ambaye ni Ofisa Msaidizi wa Baraza la Michezo la
Taifa (BMT). (PICHA NA RICHARD MWAIKENDA)
Ofisa Uhusiano wa Clouds FM , Simalenga Simon akielezea kuhusu udhamini wao
Ofisa wa BMT akizfafanua jambo kuhusu mashindano hayo
Baadhi ya wanahabari wakiwajibika katika mkutano huo uliofanyika Hoteli ya Holiday Inn
Reviewed by crispaseve
on
08:05
Rating:
Post a Comment