Header AD

MZUNGU KICHAA APATA MTOTO WA KIKE NA KUMPA JINA LA ‘OLIVIA’.

Mzungu kichaa
Mzungu Kichaa.
Espen Sørensen maarufu kama Mzungu Kichaa ambaye ni raia wa Denmark aliyekulia nchini Tanzania amefanikiwa kupata mtoto wa kike aliyempa jina la OLIVIA. 
Kama ilivyo kawaida kwa wazazi wengi kuwa na upendo kwa watoto wao,  mkali huyo ambaye ni zao kutoka EBSS alishea na mashabiki wake kupitia ukurasa wake wa  Facebook kisha kuweka picha ya binti yake huyo na kuadd caption iliyosomeka
”Namshukuru mungu malaika wetu amezaliwa. Jina lake ni Olivia aka Lil Kichaa. Mum and dad are also in good health. We are so happy that our baby has come into the world strong and healthy”.

Photo: Namshukuru mungu malaika wetu amezaliwa. Jina lake ni Olivia aka Lil Kichaa. Mum and dad are also in good health. We are so happy that our baby has come into the world strong and healthy.
MZUNGU KICHAA APATA MTOTO WA KIKE NA KUMPA JINA LA ‘OLIVIA’. MZUNGU KICHAA APATA MTOTO WA KIKE NA KUMPA JINA LA ‘OLIVIA’. Reviewed by crispaseve on 13:49 Rating: 5

No comments

Post AD