MWAITE JUMA AENDELEZA UBABE CHALINZE JUMA BIGLEE AMCHAKAZA JACK SIMELA
Bondia
Juma Biglee kulia akishambulia kwa makonde na Jack Simela wakati wa
mpambano wao wa masumbwi uliofanyika jana katika ukumbi wa Ndelema inn
chalinze mjini mkoa wa pwani Biglee alishinda kwa point
Bondia
Juma Biglee kulia akishambulia kwa makonde na Jack Simela wakati wa
mpambano wao wa masumbwi uliofanyika jana katika ukumbi wa Ndelema inn
chalinze mjini mkoa wa pwani Biglee alishinda kwa point.
Bondia Juma Biglee akinyooshwa mkono juu baada ya kumshinda Jack Simela wa chalinze.
Bondia
Mwaite Juma kushoto akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na Godfrey
Sadiki 'Pacho Mawe' wakati wa mpambano wao uliofanyika jana katika
ukumbi wa ndelema inn chalinze mkoa wa pwani juma alishinda kwa point .
Bondia
Mwaite Juma kushoto akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na Godfrey
Sadiki 'Pacho Mawe' wakati wa mpambano wao uliofanyika jana katika
ukumbi wa ndelema inn chalinze mkoa wa pwani juma alishinda kwa point
picha na www.superdboxingcoach. blogspot.com
MWAITE JUMA AENDELEZA UBABE CHALINZE JUMA BIGLEE AMCHAKAZA JACK SIMELA
Reviewed by crispaseve
on
05:09
Rating:
Post a Comment