WAZIRI MKUU,MIZENGO PINDA AWASILI JIJINI NAIROBI KUMWAKILISHA RAIS KIKWETE KWENYE MKUTANO WA MAZIWA MAKUU
Waziri
Mkuu, Mizengo Pinda akisalimana na Seneta wa Kirinyaga, Daniel Dickson
Karaba baada ya kuwasili wenye uwanja wa ndege wa Jomo Kenyatta nchini
Kenya Julai 23, 2014 kumwakilisha Rais Jakaya Kikwete katika mkutano
maalum wa nchi za maziwa makuu kuhusu kupambana na tatizo la ajira kwa
vijana unaotarajiwa kufanyiaka Julai 24, 2014.Katikati ni Balozi wa
Tanzania nchini Kenya,Mh. Batilda - Sarha Burhan
Waziri
Mkuu, Mizengo Pinda akisalimana na baadhi ya watumishi wa ubalozi wa
Tanzania nchini Kenya baada ya kuwasili wenye uwanja wa ndege wa Jomo
Kenyatta Julai 23, 2014 kumwakilisha Rais Jakaya Kikwete katika
mkutano maalum wa nchi za maziwa makuu kuhusu kupambana na tatizo la
ajira kwa vijana unaotarajiwa kufanyiaka Julai 24, 2014. (Picha na Ofisi
ya Waziri Mkuu)
WAZIRI MKUU,MIZENGO PINDA AWASILI JIJINI NAIROBI KUMWAKILISHA RAIS KIKWETE KWENYE MKUTANO WA MAZIWA MAKUU
Reviewed by crispaseve
on
01:10
Rating:
Post a Comment