BREAKING NEWS: Taarifa ya msiba wa Ndg. TIBBS ELAD uliotokea leo Dar es salaam
Moja ya taarifa ya kushtua na
kuhuzunisha watu
kutumiana message ni kuhusu msiba wa aliyekuwa mwanasheria TIBBS ELAD, watu wa karibu ili
kuthibitisha taarifa hiyo.
Dada wa marehemu ambaye jina lake ni Betty amethibitisha kuwa kaka yake TIBBS ELAD amefariki akiwa hospital ya Lugalo.
Bamiza Blog imepoteza Mdau wake mihimu ...
"Ni
masaa kadhaa yamepita tangu ututoke duniani.Hatupo nawe kimwili lakini
kiroho upo nasi daima.Tutakukumbuka sana Mzee wetu Mpendwa,Mungu
aiongoze familia yako salama hasa katika kipindi hiki kigumu,ndugu Jamaa
na Marafiki tunakuombea upumzike kwa amani uncle Tibbs Elad." Sisi Tulikupenda sana lakini Mungu kakupenda Zaidi.
BREAKING NEWS: Taarifa ya msiba wa Ndg. TIBBS ELAD uliotokea leo Dar es salaam
Reviewed by crispaseve
on
00:16
Rating:
Post a Comment