Uzinduzi rasmi wa Tawi la Chadema Washington DC.
Mhe. Zitto Kabwe akitoa hutba kuelezea mpango mzima wa mambo yanavyoendelea nchini Tanzania. |
Wantazania waishio DMV Nchini Marekani wakiwa katika uzinduzi wa tawi la chadema Washington DC. |
Wana DMV wakisikiliza hutuba ya Mhe. Zitto Kabwe. |
Baadhi ya wakereketwa wachukua kadi baada ya uzinduzi wa tawi la chadema Washington.(Picha zote na swahilivilla.blogspot.com) |
Reviewed by crispaseve
on
06:17
Rating:
Post a Comment