Header AD

REDDS MISS CHANG'OMBE KUPATIKANA KESHO JUMAMOSI UKUMBI WA QUALITY CENTRE.

 Warembo wanaotarajia kuwania taji la Redds Miss Chang'ombe kesho katika ukumbi wa Quality Centre, Dar es Salaam, wakiwa katika picha ya pamoja wakati wa mkutano na waandishi wa habari jana kwenye mgahawa mpya wa City Sports & Lounge uliopo mkabala na sanamu ya Askari, katikati ya Jiji la Dar es Salaam.
 Mwandaaji wa shindano hilo, Tom Chilala (kulia) akizungumza kuhusu maandalizi ya kimbembe hicho. Kutoka kushoto ni Meneja wa kinywaji cha Redds kinachodhamini mashindano hayo, Vick Kimaro na Meneja wa Kampuni ya Nexusw Consulting Agency, Neema David.
        warembo wakiwa kwenye pozi.PICHA NA KAMANDA MWAIKENDA)
Reviewed by crispaseve on 07:38 Rating: 5

No comments

Post AD