MISS ARUSHA ATWAA TUZO YA SJMC MISS TOURISM TANZANIA 2012/13-MEDIA AWARD,AZAWADIWA KUSOMA CHUO KIKUU.
Mshindi
wa SMJC Miss Tourism Tanzania 2012/13 Media Award kutoka Mkoa wa Arusha
Rose Godwin, Akiwa anasogea Mbele Mara Baada ya Kutangazwa kuwa ndiye
mshindi wa Tuzo hiyo.
Mshindi
wa SMJC Miss Tourism Tanzania 2012/13 Media Award kutoka Mkoa wa Arusha
Rose Godwin akivalishwa Skafu maalum ya ushindi na Mwalimu Mkuu wa Shule kuu ya Chuo Cha Uhandishi wa Habari SJMC, Drk. Herbert Makoye
Mshindi wa SMJC Miss Tourism Tanzania 2012/13 Media Award kutoka Mkoa wa Arusha Rose Godwin akikabidhiwa ua na Mwalimu Mkuu wa Shule kuu ya chuo cha uandishi wa Habari na Mawasiliano ya Umma Drk. Herbert Makoye
Washindi sita wakiwa katika Picha ya Pamoja
Mshindi
wa SMJC Miss Tourism Tanzania 2012/13 Media Award nafasi ya Tatu Baby
Juma kutoka mkoa wa Mtwara Akikabidhiwa Zawadi ya Ua na Mwalimu Mkuu wa Shule kuu ya Chuo Cha Uhandishi wa Habari SJMC, Drk. Herbert Makoye
Mshindi
wa Tuzo ya Media ya Awards kutoka mkoa wa Arusha(katikati) akiwa na
wenzake baada ya kutangazwa mrembo wa Vyombo vya Habari vya SJMC Radio,
Tv na Magazeti, hafla ambayo imefanyika kwenye ofisi za Chuo Kijitonyama
jijini Dar es salaam. Fainali za Miss Utalii zitafanyika tarhe
6/4/2012/13 katika Viwanja vya Makumbusho.
Mwalimu
Mkuu wa Shule kuu ya Chuo Cha Uhandishi wa Habari SJMC, Drk. Herbert
Makoye (wa pili kulia), akiwa na Washindi wa watatu wa Tuzo ya Media
Awards ya chuo hicho, katikati ni mshindi wa kwanza wa tuzo hiyo kutoka
katika Mkoa wa Arusha.
Meneja
vyombo vya habari vya Mlimani-Mama Edda Sanga(kati) Susanne
Mbise(kushoto)na Afisa Masoko wa SJMC Sophia Ndibalema(kulia) wakiwa na
Mshindi wa Miss Utalii Tanzania-Tuzo ya Media Awards kutoka mkoa wa
Arusha, muda Mfupi baada ya kutangazwa katika Hafla iliyofanyika katika
Chuo cha SJM
Mwalimu
Mkuu wa Shule kuu ya Chuo Cha Uhandishi wa Habari SJMC, Drk. Herbert
Makoye akimtangaza Mshindi wa SMJC Miss Tourism Tanzania 2012/13 Media
Award kutoka Mkoa wa Arusha Rose Godwin.
Reviewed by crispaseve
on
03:52
Rating:
Post a Comment