Header AD

Mhe. Waziri Bernard K. Membe (Mb), akisaini Kitabu cha Maombolezo cha Waziri Mkuu wa kwanza mwanamke wa Uingereza katika Ubalozi wa Uingereza nchini Tanzania, uliopo jijini Dar es Salaam. Hayati Bibi Margaret Thather amefariki akiwa na umri wa miaka 87 na anakumbukwa kwa kuwa mwanamke mwenye ushawishi wa mkubwa katika siasa za Uingereza na kwa kuleta mageuzi ya kisiasa nchini humo.
 Mhe. Waziri Membe akiwa katika picha ya pamoja na Mhe. Balozi Dianna Melrose, Balozi wa Uingereza nchini Tanzania, mara baada ya kuwasili katika Ubalozi huo.
Waziri Membe akiwa katika mazungumzo machache na Balozi wa Uingereza nchini Tanzania, Mhe. Dianna Melrose, mara baada ya kusaini Kitabu cha Maombolezo cha aliyekuwa Waziri Mkuu wa kwanza mwanamke wa Uingereza, Hayati Bibi Margaret Thatcher.Picha na Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa
Reviewed by crispaseve on 03:07 Rating: 5

No comments

Post AD