Header AD

Akudo impact yawakuna wakazi wa jiji la Arusha

 Wanenguaji wa bendi ya Akudo wakifanya vitu vyao ndani ya ukumbi wa world  garden.
 warembo walikua kibao waliokuja kucheki shoo ya Akudo
 Kamafa wa Radio 5 nae alikuwepo katika shoo hiyo.
 hii meza ilikuwa imetawaliwa na kinywaji cha K-vant iliongozwa na meneja wa kanda wa kinywaji hicho Godluck
 Watangazaji wa Radio 5 107:5 fm Arusha wa kwanza kulia ni Deo  G katikati mdada wa libeneke pamoja na mkaka Matungilo wakisakata rumba
 watu waliyarudi balaa yote haya ni chini ya uthamini kampuni ya Tan Media Comunication kupitia kituo chao kikubwa cha   Radio ya watu Radio 5 Arusha.


 Full mzuka kampani nzima ya Radio 5 ikiongozwa na kamafa
 Mwanadada Ashura Muhamedi Alikuwepo kwenye shoo hiyo
 Ulikua ukiingia tu unakutana na meza iliyopendeza vinywaji vya k-vant gin
Reviewed by crispaseve on 06:12 Rating: 5

No comments

Post AD