LADY JAYDEE AJUTA NA ATAKA KUIKIMBIA NCHI ILI KUJINASUA,SASA MAJI SHINGONI:SOMA HAPA ALICHOKIANDIKA:
![]() |
| Ni masaa machache tu yaliyopita mwanamuziki LADY JAYDEE ameandika kutaka kuihama nchi yake na kuelekea nchi jirani ya KENYA ... Lady Jaydee anafikiria kwenda kuomba uraia KENYA ama MALAWI kwa kile kinachoonekana kuwa ni kutaka kujinasua katika migogoro inayomkabili ambayo tayari iko mahakamani.... |

@JideJaydee "Kuna muda pesa tu ndio inaongea sijui nihamie Kenya nikaombe uraia huko? Au Malawi labda, mtanifuata?
Reviewed by crispaseve
on
04:58
Rating:


Post a Comment