Header AD

ALEX MSAMA ATOA MSAADA KATIKA KITUO CHA YATIMA DAR

 Alex Msama akikabidhi hundi yenye thamani ya sh. milioni 1.2 kwa ajili ya kulipia ada ya wanafunzi walioshindwa kwenda shule kwa ajili ya kudaiwa ada.
 Mwenyekiti wa Tamasha la Pasaka, Alex Msama akizungumza na waandishi wa habari wakati wa hafla ya kukabidhi vitu mbalimbali kwa ajili ya kituo cha kulelea watoto wanaoishi katika mazingira magumu cha Mwendaliwa. 
 Mwenyekiti wa Tamasha la Pasaka, Alex Msama akikabidhi magodoro kwa mlezi wa kituo hicho.
 Watoto wa Kituo cha Mwendalewa kilichopo Boko wakipokea msaada wa vifaa mbalimbali kwa ajili kituo hicho kutoka kwa Mwenyyekiti wa Tamasha la pasaka Alex Msama. 
 Sehemu ya msaada uliotolewa na Msama Promosheni.
 Mlezi wa Kituo cha kulelea watoto wanaoishi katika mazingira magumu cha Mwandaliwa, Halima Ramadhani akitoa shukrani kwa msaada aliopata kutoka kwa Kampuni ya Msama Prpmosheni, kwa ajili ya kituo hicho.
Reviewed by crispaseve on 09:21 Rating: 5

No comments

Post AD