Header AD

HATIMAE DIVA AFUNGUKA BAADA YA KUAMBIWA KATOSWA NA PREZZO, SOMA HAPA

DIVA
Leo Diva wa Clouds fm amevunja ukimya wa kile kinachoendelea kujiuliza vichwani mwa watu wengi wa east africa juu ya yeye na CMB prezzo hatma yao, Hebu fuatilia makala hii fupi aliyoitoa yeye mwenyewe kwenye mtandao wake.  “Okay now that some bloggers blog about me and Prezzo and Prezzo kuwa womanizer …Prezzo this and that ..blah blah blah OGAWD.
guys Prezzo is the President……….he is grown man and labda hamumjui au hamjawahi kaa nae au kuzungumza nae but trust me he is such a sweetheart, he is a very good guy and he is one of the best. am lucky maybe ….. but am close to him and we talk a lot A LOT kila wakati and God created him for a Very special Purpose.
and …………. whatever ts btn me and him ts btn me and him ….and we are good. very very good…
Reviewed by crispaseve on 06:40 Rating: 5

No comments

Post AD