Header AD

KALA JEREMIAH AMUENZI NGWEA MKOANI MORO LEO.

Kala Jeremiah akikabidhi tuzo yake kwa mama mzazi wa Albert Mangweha, Bi. Denisia Mangweha.
Kala akisalimiana na dada yake Ngwea, Bi. Magreth Kenneth Mangweha, katika kaburi la baba yao mzazi mzee Kenneth Mangweha.…
Kala Jeremiah akikabidhi tuzo yake kwa mama mzazi wa Albert Mangweha, Bi. Denisia Mangweha.
Kala akisalimiana na dada yake Ngwea, Bi. Magreth Kenneth Mangweha, katika kaburi la baba yao mzazi mzee Kenneth Mangweha.
Kala, ndugu wa marehemu Ngwea na alioambatana nao wakiwa kwenye gari kuelekea makaburini.
Msanii wa Hip Hop aliyejinyakulia tuzo tatu Jumamosi iliyopita wakati wa sherehe za utoaji tuzo za Kili, Kala Jeremiah, leo amemuezi mwana Hip Hop mwenzake aliyefariki dunia Mei 28 mwaka huu nchini Afrika Kusini, Albert Mangweha kwa kumpelekea tuzo yake moja ya Wimbo Bora wa Hip Hop ambayo amemkabidhi mama yake mzazi Bi. Denisia Mangweha nyumbani kwake eneo la Kihonda mkoani Morogoro.
(PICHA NA DUSTAN SHEKIDELE / GPL, MOROGORO)
Reviewed by crispaseve on 11:20 Rating: 5

No comments

Post AD