Header AD

Serena Hoteli na Montage Ltd wala chakula cha Mchana na Watoto waishio kwenye mazingira magumu

 Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Montage Ltd,Teddy Mapunda akisaidia kuwapatia Watoto vinywaji wakati wa hafla fupi ya Chakula cha Mchana kilichoandaliwa na Hoteli ya Serena pamoja na Kampuni ya Montage,kwa Watoto wainshio katika Mazingira Magumu wa Kituo cha Pasada,Kilichopo Temeke jijini Dar es Salaam.Hii ilikuwa ni sehemu ya Maadhimisho ya Siku ya Mtoto wa Afrika.
 Mkurugenzi wa Masoko na Mauzo wa Hoteli ya Serena,Seraphin Lusala (kulia) akiwa sambamba na Meneja Mkuu Msaidizi wa Hoteli hiyo,Daniel Sambai wakisaidiana kuwapatia Watoto vinywaji wakati wa hafla fupi ya Chakula cha Mchana kilichoandaliwa na Hoteli ya Serena pamoja na Kampuni ya Montage,kwa Watoto wainshio katika Mazingira Magumu wa Kituo cha Pasada,Kilichopo Temeke jijini Dar es Salaam.Hii ilikuwa ni sehemu ya Maadhimisho ya Siku ya Mtoto wa Afrika.
 Kazi ikiendelea.
 Mkurugenzi wa Masoko na Mauzo wa Hoteli ya Serena,Seraphin Lusala akizungumza machache wakati wa hafla hiyo,iliyofanyika kwenye ukumbi wa Maquee uliopo ndani ya Hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam.
  Watoto wakipata chakula.
Baadhi ya wafanyakazi wa Hoteli ya Serena.Picha na Othman Michuzi.
Reviewed by crispaseve on 05:01 Rating: 5

No comments

Post AD