WAOMBOLEZAJI WAANZA KUUAGA MWILI WA MAREHEMU LANGA..!!
Mwili wa Langa Kileo ukiwa nyumbani kwao Mikocheni Jijini Dar. |
Langa enzi za uhai wake.… |
Mwili wa Langa Kileo ukiwa nyumbani kwao Mikocheni Jijini Dar. |
Langa enzi za uhai wake. |
Ndugu wa marehemu wakiaga. |
Jeneza lenye mwili wa marehemu Langa. |
Ridhiwan Kikwete (kushoto) akiwa msibani |
Taratibu za mazishi ya msanii wa muziki
wa kizazi kipya nchini, Langa Kileo zimeanza rasmi ambapo leo asubuhi
ameagwa na familia yake nyumbani kwao Mikocheni Jijini Dar.
Waombolezaji wengine watapata muda wa kumuaga mwanamuziki huyo saa 7
mchana na mazishi yanatarajiwa kufanyika Makaburi ya Kinondoni jijini
saa 10 alasiri
Reviewed by crispaseve
on
05:17
Rating:
Post a Comment