Header AD

WAOMBOLEZAJI WAANZA KUUAGA MWILI WA MAREHEMU LANGA..!!



Mwili wa Langa Kileo ukiwa nyumbani kwao Mikocheni Jijini  Dar.
Langa enzi za uhai wake.…

Mwili wa Langa Kileo ukiwa nyumbani kwao Mikocheni Jijini  Dar.
Langa enzi za uhai wake.

Ndugu wa marehemu wakiaga.
Jeneza lenye mwili wa marehemu Langa.
Ridhiwan Kikwete (kushoto) akiwa msibani
Taratibu za mazishi ya msanii wa muziki wa kizazi kipya nchini, Langa Kileo zimeanza rasmi ambapo leo asubuhi ameagwa na familia yake nyumbani kwao Mikocheni Jijini  Dar. Waombolezaji wengine watapata muda wa kumuaga mwanamuziki huyo saa 7 mchana na mazishi yanatarajiwa kufanyika Makaburi ya Kinondoni jijini saa 10 alasiri
Reviewed by crispaseve on 05:17 Rating: 5

No comments

Post AD