Header AD

JE UNAFAHAMU KWAMBA WANAMITINDO KIM KARDASHAN NA AMBER ROSS WAMEZALIWA TAR NA MWEZI UNAOFANANA? LEO NI BIRTHDAY ZAO.

Mwanamitindo Maarufu na mwenye mvuto wa kipekee Kimberly Noel Kardshan A.K.A “Kim  Kardashian” ambaye ni mama wa mtoto mmoja ‘North West’ aliyezaa na Rapa Kanye West amezaliwa Tarehe na mwezi kama wa leo 21/10 mwaka 1980 katika jiji la Los Angels California hivyo leo anatimiza nyundozz 33.
Kim K aliaanza kupata umaarufu mwanzoni mwa mwaka 2007 alipokuwa rafiki kipenzi wa Paris Hilton na baada ya Mkanda wa video uliovuja kati yake na mdogo wake Brandy Ray J, cha kushangaza ni kwamba Kim Kardashan amezaliwa Tarehe na mwezi sawa kama aliozaliwa Mwanamitindo Amber Levonchuck maarufu kama ‘Amber Rose’ ambaye nae aliwahi kutoka kimapenzi na rapa Kanye West miaka kadhaa iliyopita kabla ya kuangukia katika mikono mwa mTaylor Gang ‘Wiz Khalifa’ na kuamua kufunga ndoa ambayo ilizaa matunda baada ya kupata mtoto mmoja waliyempa jina la ‘Sebastian’,  Kwa ufupi Amber Rose alizaliwa Tarehe 21 Mwezi wa 10 mwaka 1983 ivyo leo anatimiza nyundozz 30 kamili.
Reviewed by crispaseve on 03:35 Rating: 5

No comments

Post AD