Header AD

NDOVU SPECIAL MALT ILIVYO KUTANA NA WADAU WAKE KATIKA CRYSTAL BAR JIJINI MWANZA

Baadhi ya wakazi wa Jiji la Mwanza wakiwa katika foleni ya kuingia katika taafrija maalum ya wateja na wapenzi wa kinywaji cha Ndovu ijulikanayo kama Ndovu Crystal Bar iliyofanyika katika Hoteli ya Gold Crest ya jijini humo mwishoni mwa wiki.
Meneja wa Bia ya Ndovu Special Malt,Pamela Kikuli akipiga picha ya kumbukumbu kabla ya kuingia katika taafrija maalum ya wateja na wapenzi wa kinywaji cha Ndovu ijulikanayo kama Ndovu Crystal Bar iliyofanyika katika Hoteli ya Gold Crest ya jijini Mwanza mwishoni mwa wiki.
Baadhi ya wakazi wa Jiji la Mwanza wakipiga picha za kumbukumbu kabla ya kuingia katika taafrija maalum ya wateja na wapenzi wa kinywaji cha Ndovu ijulikanayo kama Ndovu Crystal Bar iliyofanyika katika Hoteli ya Gold Crest ya jijini Mwanza mwishoni mwa wiki.
Burudani ya Muziki ikitolewa katika taafrija hiyo maalum kwa wateja na wapenzi wa kinywaji cha Ndovu ijulikanayo kama Ndovu Crystal Bar iliyofanyika katika Hoteli ya Gold Crest ya jijini Mwanza mwishoni mwa wiki.
Reviewed by crispaseve on 12:54 Rating: 5

No comments

Post AD