Header AD

PICHA ZA RIHANNA AKILA BATA KWA KUTALII KATIKA MBUGA ZA WANYAMA NCHINI AFRIKA KUSINI

Image
Rihanna A.K.A Bad Gal yupo katika ziara yake ya muziki katika nchi ya Afrika Kusini lakini hakuishia kufanya show tuu bali aliweza kupata nafasi ya kutembelea vivutio mbalimbali viloivyopo nchini humo ikiwemo mbuga ya wanyama na kuweza kupiga picha na wanyama mbalimbali kama Mtoto wa Simba na twiga na kisha kupost katika mtandao wa Instagram na kutumia hashtag ya #MamaAfRIHc katika picha hizo, Tazama picha zake chini;

Reviewed by crispaseve on 21:38 Rating: 5

No comments

Post AD