Rick Ross Asema Album Mpya Ya Dj Khaled Ndio Album Bora Ya Mwaka 2013
Rapper
na mwanzilishi wa record lebel ya MMG Amesema anakubali na kuamini kwa
asilimia 100 kuwa album mpya ya dj mkubwa duniani Dj Khaled ndio album
bora mwaka huu. Sijui kama ndio mashavu au promo ya album ya mshikaji
wake ila Rozay ambaye pia ana album mpya inayokuja hivi karibuni
amejikuta akifunguka haya kuhusu cd ya mwenzake.
Reviewed by crispaseve
on
03:49
Rating:


Post a Comment