Header AD

THE GAME ASAINI MKATABA WA KUJIUNGA CASH MONEY RECORDS.

Rapa ‘The Game’ kutoka West Coast  amedhibitisha kujiunga na record label ya Cash Money inayomilikiwa na Brayan Adam A.K.A ‘BIRDMAN’ , ishu iyo iliweza kusambaa katika mitandao mbalimbali ya habari kupitia mtandao wa kijamii wa Twitter baada ya Birdman kutweets kuwa The Game amesajiliwa rasmi kuwa mwanafamilia ya Cash Money na The Game kurespond, Tazama tweets hizo hapo chini.
gamew
Reviewed by crispaseve on 07:04 Rating: 5

No comments

Post AD