HAFLA YA TUZO ZA WANASOKA BORA TANZANIA WA GAZETI LA MWANASPOTI ILIVYOFANA JANA MLIMANI CITY
Naibu Waziri wa TEKNOHAMA, Januari Makamba kushoto akimkabidhi tuzo ya Mwanasoka Bora, kiungo wa Yanga SC, Haruna Niyonzima kulia. Anayeshuhudia katikati ni Mwenyekiti wa Bodi ya MCL, Zuhura Muro |
Mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya TFF, Geoffrey Nyange 'Kaburu' akimkadhi tuzo Refa Bora, Oden Mbaga |
Mshambuliaji wa zamani wa Simba na Yanga, Zamoyoni Mogella akimkabidhi tuzo ya bao bora, mwakilishi wa mshindi wa tuzo hiyo, Thomas Ulimwengu wa TP Mazembe ya DRC |
Kipa mpya wa Yanga SC, akipokea Tuzo ya 11 Bora kutoka kwa Mwenyekiti wa Bodi ya MCL, Zuhura Muro kushoto |
Amri Kiemba wa Simba SC akipokea tuzo ya 11 Bora |
Winga wa Azam FC, Joseph Kimwaga akipokea tuzo ya Mchezaji Bora Chipukizi kutoka kwa Mohammed Rweyemamu, Mjumbe wa Bodi ya MCL |
Mwanahaisi Omar akipokea tuzo ya Mchezaji Bora wa Kike kutoka kwa Makamu Rais wa Shirikisho la Soka la Wanawake (TWFA), Rose Kisiwa kushoto |
Makamba akimkabidhi tuzo ya heshima, Nahodha wa zamani wa timu ya soka ya Taifa ya Tanzania, Nicholaus Akwitende kulia |
Nahodha mwingine wa zamani wa Taifa Stars, John Lyimo akipokea tuzo ya heshima kulia |
Nahodha mwingine wa zamani wa Taifa Stars, Mbwana Abushiri akipokea tuzo yake |
Nahodha mwingine wa zamani Taifa Stars, Omar Zimbwe akipokea tuzo yake ya heshima |
Mchezaji wa zamani wa Taifa Stars, Said George aimpokelea tuzo Jellah Mtagwa |
Mtangazaji maarufu wa mpira wa zamani wa Radio Tanzania Dar es Salaam (RTD), sasa TBC, Mzee Mshindo Mkeyenge (katikati) akipokea tuzo yake ya heshima |
Meneja Uhusiano wa Vodacom, Salum Mwalimu akimkabidhi Tenga tuzo ya Utawala Bora |
Wachezaji na wawakilishi wa wachezaji walioteuliwa katika 11 Bora ya gazeti la Mwanaspoti wakiwa katika picha ya pamoja baada ya kushinda tuzo zao |
Mzee King Kiki alitumbuiza |
Rapa Joh Makini akitumbuiaza |
Rapa Joh Makini akiwataka waalikwa wainue mikono juu |
Na kweli watu wazima waliiua mikono kucheza Hip hop |
Rapa Juma Nature akitumbuiza |
Ofisa wa Azam FC, Patrick Kahemele akipokea tuzo ya 11 Bora kwa niaba ya Kipre Tchetche |
Juma Kaseja na Amri Kiemba baada ya kupokea tuzo zao |
Msanii akionyesha utundu na kipaji cha kunyumbulika |
Hivi ni vipaji adimu |
TBC1 walikuwa live jana |
Amerudi Yanga huyu; Kipa wa Coastal Union, Shaaban Kado kushoto akifurahia jambo na kipa mpya wa Yanga SC, Juma Kaseja |
Kutoka kulia kocha wa Mbeya City, Juma Mwambusi, kiungo wa Coastal Union, Uhuru Suleiman ma mwigizaji Elizabeth Michael 'Lulu' |
Nahodha wa zamani wa Taifa Stars, Ally Mayay kulia akiwa na Kaburu |
Ni haki yake kuchoka; Boniface Wambura kulia, Kaimu Katibu Mkuu wa TFF anafanya kazi sana na haikuwa ajabu aliishia kusinzia kwa uchovu jana wakati wa shetehe za tuzo, kushoto ni Mogella. |
HAFLA YA TUZO ZA WANASOKA BORA TANZANIA WA GAZETI LA MWANASPOTI ILIVYOFANA JANA MLIMANI CITY
Reviewed by crispaseve
on
12:02
Rating:
Post a Comment