Jeneza lenye mwili wa Mandela likiwa makaburini.
Jeneza lenye mwili wa Hayati Nelson Mandela likipelekwa makaburini tayari kwa maziko.
Oprah Winfrey naye ni miongoni mwa waombolezaji. Hapa akielekea eneo la makaburi.
Askofu Desmond Mpilo Tutu ambaye alikuwa rafiki wa karibu wa marehemu Mandela naye akielekea eneo la makaburi.
Jeneza baada ya kuwasili eneo la makaburi. Hapa likifunguliwa kutoka kwenye gari maalum.
MAZIKO YA NELSON MANDELA KIJIJINI QUNU
Reviewed by
crispaseve
on
02:33
Rating:
5
Post a Comment