Header AD

TCRA, TAEC ZAWAELIMISHA WANAHABARI HALI YA MIONZI NCHINI

 Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), Profesa John Nkoma (kulia) akifafanua jambo wakati wa semina ya wanahabari kuhusu hali ya mionzi Tanzania, iliyofanyika Mkao Makuu ya TCRA, Dar es Salaam leo. Kushoto ni Mkurugenzi wa Teknolojia ya Mionzi wa Tume ya Mionzi Tanzania (TAEC), Dk. Mwijarubi Nyaruba. (PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA)

Sehemu ya wanahabari wakiwa kwenye semina hiyo ya uelewa wa hali ya mionzi nchini.
 Mkurugenzi wa Teknolojia ya Mionzi wa Tume ya Mionzi Tanzania (TAEC), Dk. Mwijarubi Nyaruba akielezea kuhusu matokeo ya utafiti wa hali ya mionzi Tanzania wakati wa semina hiyo ya wanahabari.
 Mtangazaji wa Times Radio FM, Scolastica Mazula akiuliza swali kuhusu athari zinazotokana na matumizi ya simu feki nchini.
Reviewed by crispaseve on 02:24 Rating: 5

No comments

Post AD