JA RULE NA 50 CENT WAKWEA PIPA(NDEGE) MOJA, BIFU KWISHINEI.
Tukio la marapa wawili ambao walikuwa mahasimu wakubwa, Ja
Rule na Rapa anayewakilisha New York City 50 Cent kupanda katika ndege
moja na kukaa Row moja imepata kuwa gumzo katika mitandao na vyombo
mbalimbali vya habari huko majuu.
Chanzo kimoja cha habari kutoka majuu kimeeleza kwamba Ja
Rule na 50 Cent walikwea pipa(Ndege) kwa ajili ya kwenda kushuhudia
pambano la masumbwi na hakuna mkwaruzano ambao ulitokea baina yao richa
ya kwamba walikaa katika row moja, katika kuonyesha kwamba tofauti zao
zimekwisha Rapa Ja Rule aliamua kutweets kupitia mtandao wa Twitter na kusema kwamba ”What are the Chances me and 50 same flight same row no problems.!!!#GrownManShit” alifunguka ivyo.
JA RULE NA 50 CENT WAKWEA PIPA(NDEGE) MOJA, BIFU KWISHINEI.
Reviewed by crispaseve
on
21:20
Rating:

Post a Comment