Header AD

Picha,Mastaa Wanapojutia Kuwa Na Tattoo Mambo Kama Haya Hutokea


Producer Pharrell Williams alishawahi kukiri kuwa alipata maumivu makali sana wakati anafuta tatto alizochora wakati wa ujana wake na akajutia kitendo hicho. Alikuwa muoga wa magonjwa atakayopata baada ya tattoo kufutwa na mionzi mikali kwenye mwili wake inayoweza kusababisha saratani na magonjwa mengine.

Picha Zingine Ziko Hapa
Picha,Mastaa Wanapojutia Kuwa Na Tattoo Mambo Kama Haya Hutokea Picha,Mastaa Wanapojutia Kuwa Na Tattoo Mambo Kama Haya Hutokea Reviewed by crispaseve on 07:52 Rating: 5

No comments

Post AD