BONDIA THOMAS MASHALI APATA AJALI
Bondia Thomasi Mashali akionesha majeraha aliyoyapata baada ya kupata ajali hivi karibuni picha nawww.superdboxingcoach. blogspot.com
===== ===== ======
BONDIA Thomasi Mashali amepata ajali ya gari mara baada ya kuangukia
mtaloni akiwa anaendesha gari aina ya vitz lenye namba za usajili T 777
BMW ajari hiyo iliyotokea maeneo ya kimara baruti siku ya april 20
wakati
akitokea manzese kwenda nyumbani kwake kimara mwisho, akielezea tukio
zima la ajali hiyo Mashali 'Alisema nilikuwa naendesha mwenyewe
nikakutana na tuta nikaruka tuta nilivyomaliza tu tuta kumbe mbele yangu
kulikuwa kumefungwa kutokana na matengenezo ya barabara ya morogoro
ile nataka kukwepa uzio ambapo nilipo kwepea nika ingia mtaloni moja kwa
moja
katika gari hiyo tulikuwa wawili na mdogo wangu George Maluma ambaye ajaumia chochote katika ajari hiyo
akizungumzia
mchezo wake unao mkabili ambao ulikuwa ufanyike siku ya mei mosi katika
ukumbi wa PTA Sabasaba kwa ajili ya kumkabili Kalama Nyilawila, mashali
alisema kuwa kwa sasa sifanyi mazoezi kwa kuwa nauguza majeraha yangu
ya kuchubuka na kutoka kwa ngozi katika mkono wangu wa kulia na ubavuni
mwangu
namwambia
Kalama kuwa kafala laker limegonga mwamba hivyo akae tayali kwa kipigo
cha mbwa mwizi kama nilivyo mfanya mwenzie Mada Maugo
kwani
na yeye alikuwa anachonga sana lakini mwisho wa siku nikachukuwa ubingwa
kupitia kwake yeye mana mpambano huu nilikuwa nausubili kwa hamu kubwa
sana leo kesho
mbali
na majeraha haya napenda kuwashukuru baadha ya watu walionisaidia
katika tukio zima la mimi kupata ajari na kunisaidia kutoa gari bondeni
mpaka sasa ipo katika mikono salama ingawa imearibikwa kwa sababu ya
kubondeka
mbali
na hivyo nashukuru promota Ally Mwazoa kwa kuwa na moyo wa huruma na
kuhamua kusogeza mbele mpambano huo mpaka siku utakapotangazwa tena pia
naomba watanzania waniombee duwa kwani naenderea vizuri kutibu majeraha
yangu
BONDIA THOMAS MASHALI APATA AJALI
Reviewed by crispaseve
on
08:02
Rating:

Post a Comment