Picha na Taarifa Kwa Umma Kutoka Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango: Sera ya Taifa ya Idadi ya Watu Kufanyiwa Mapitio
Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano
Serikalini (Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango), Bi Joyce Mkinga (katikati)
akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati alipokuwa akitoa
taarifa ya kupitiwa upya kwa Sera ya Taifa ya Idadi ya Watu. Pamoja nae ni
Mchambuzi Mkuu wa Sera (Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango), Bw. Edwin Ninde
(Kushoto) na Afisa Habari wa Idara ya Habari, Bibi Georgina Misana (Kulia).

Mchambuzi Mkuu wa Sera (Ofisi ya Rais,
Tume ya Mipango), Bw. Edwin Ninde (Kushoto) akitoa ufafanuzi juu ya umuhimu wa
kufanyiwa mapitio kwa Sera ya Taifa ya Idadi ya Watu. Katikati ni Mkuu wa
Kitengo cha Mawasiliano Serikalini kutoks Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango, Bi
Joyce Mkinga na Afisa Habari wa Idara ya Habari, Bibi Georgina Misana (Kulia).

Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano
Serikalini (Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango), Bi Joyce Mkinga (katikati) na
Mchambuzi Mkuu wa Sera (Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango), Bw. Edwin Ninde
(Kushoto) wakiandika maswali yaliyokuwa yakiulizwa na wanahabari (hawapo
pichani).
---
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
OFISI YA RAIS,TUME YA MIPANGO

1. Utangulizi:
Sera ya Taifa ya
Idadi ya Watu kwanza ya iliandaliwa mwaka 1992 ambapo ilifanyiwa na kuandaliwa
upya mwaka 2006 kwa azma ya kuratibu na
kushawishi sera za sekta nyingine, mikakati na program za maendeleo kuhakikisha
zinajumuisha masuala ya maendeleo endelevu ya watu, kukuza usawa wa kijinsia, uwezeshaji
wa wanawake, haki za watoto, na makundi mengine yenye uwezekano wa kuathiriwa kwa
urahisi.
Picha na Taarifa Kwa Umma Kutoka Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango: Sera ya Taifa ya Idadi ya Watu Kufanyiwa Mapitio
Reviewed by crispaseve
on
13:39
Rating:

Post a Comment