HAWA NDIO WASANII WATAOSHIRIKI KWENYE KILI MUSIC TOUR 2014
Wasanii watakaotoa burudani ni pamoja na Diamond, Ommy
Dimpoz, Linex, Proffesor Jay, Izzo Biznes, Kala Jeremiah, Fid Q, Snura,
weusi, ben Pol, Mzee Yusuph, Shilole, Mwasiti, Ney wa Mitego, Mwana FA,
Khadija Kopa, Juma Nature, Warriors From the East, Madee, Young Killer,
Jambo Squad, AY, Vanessa Mdee, Mashujaa Band, Rich Mavoko na Christian
Bella huku Lady Jaydee akitemwa kwenye ziara hiyo licha ya kuchukua Tuzo
hizo kwa kile kilichodaiwa kuwa ni Tweet ya dharau aliyomjibu shabiki
aliyekuwa akimtaka awe anahudhuria tuzo hizo .
Meneja wa bia ya Kilimanjaro George Kavishe akizungumza na waandishi wa habari
Pia katika mikoa itakapofanyika tamasha, wasanii chipukizi
mikoa hiyo watapewa fursa ya kutumbuiza katika utangulizi. Hii ni
kuwajengea uwezo wa kujiamini na pia itakuwa ni jukwaa la kuonyesha
vipaji vyao.
Mikoa itakapopita tuzo itakuwa kama ifuatavyo:
Moshi – Mei 24
Mwanza – Mei 31
Kahama – Juni 7
Kigoma – Juni 14
Iringa – Juni 21
Mbeya – Agosti 9
Dodoma – Agosti 16
Tanga – Agost 23
Mtwara – Agosti 30
Dar es Salaam – Septemba 6.
-kililager.com
HAWA NDIO WASANII WATAOSHIRIKI KWENYE KILI MUSIC TOUR 2014
Reviewed by crispaseve
on
06:28
Rating:
Post a Comment