Header AD

Sekta ya Utamaduni kudumisha Ushirikiano baina ya Tanzania na China

 Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bi. Sihaba Nkinga(kulia) akiteta jambo na Mshauri wa Masuala ya Utamaduni kutoka Ubalozi wa China nchini Liu Dong walipotembelea ofisi za Wizara hiyo kuwatambulisha wasanii wa kikundi cha sanaa cha Yunnan Arts Troupe kutoka China leo jijini Dar es Salaam.
 Mkurugenzi wa Maendeleo ya Utamaduni wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Micherzo Prof. Hermas Mwansoko akielezea jambo wakati wa hafla ya kuwakaribisha wasanii wa kikundi cha Yunnan Arts Troupe kutoka China leo jijoni Dar es Salaam. Katikati ni Katibu Mkuu wa Wizara hiyo Bi Sihaba Nkinga na Mshauri wa Masuala ya Utamaduni kutoka Ubalozi wa China Lui Dong.
 Mshauri wa Masuala ya Utamaduni kutoka Ubalozi wa China Lui Dong (Kushoto) akifafanua jambo kwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bi. Sihaba Nkinga alipotembelea ofisini kwake  leo jijini Dar es Salaam. 
  Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bi. Sihaba Nkinga akimkabidhi zawadi ya mchoro wa Kiutamaduni Mshauri wa Masuala ya Utamaduni kutoka Ubalozi wa Chija hapa nchini Bw/. Lui Dong walipotembelea ofisi za Wizara ya habari leo jijini Dar es Salaam. 
Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Sihaba Nkinga(mwenye suti ya rangi ya maziwa katikati) akiwa katika picha ya pamoja na Wasanii wa kundi la YunnanArts Troupe kutoka China pamoja na maafisa kutoka Ubalozi wa China nhini Tanzanaia. Picha na Frank Shija,Kitengo cha Mawasiliano Serikalini, WHVUM
Sekta ya Utamaduni kudumisha Ushirikiano baina ya Tanzania na China Sekta ya Utamaduni kudumisha Ushirikiano baina ya Tanzania na China Reviewed by crispaseve on 09:10 Rating: 5

No comments

Post AD