Header AD

FAT JOE AWATAKA RICK ROSS NA DJ KHALED WAPUNGUZE UBONGE

Fat joe on Fuse Tv 
Rapa wa Marekani, Fat Joe amewatolea uvivu washkaji zake, Rick Ross na Dj Khaled wakati alipofanyiwa mahojiano na Fuse Tv na kuwataka wafanye jitihadi katika mazoezi ili waweze kupungua uzito kama jinsi yeye alivyo kwa sasa.
” I talked them all into losing weight. [I was like] yo, we gotta lose weight or we gonna die. You don’t want to leave the money behind. You worked hard to be successful. I think Rick Ross owns like 25 wingstops! He’s doing really good for himself and I’m like, ‘my man, we gotta work out. We gotta do it.’ Now, they took the torch and they might be beating me. Khaled is on Instagram working out, no matter what. I applaud him. He’s also my daughter’s godfather so I want him to be around for a long time”. alifunguka Fat Joe
Itakumbukwa mwezi April mwaka huu, Fat Joe aliwashangaza watu wengi baada ya kupoteza takribani kilo 90 baada ya kumaliza kutumikia  kifungo chake cha miezi minne jela kwa kosa la kukwepa kulipa kodi na kumfanya aonekane tofauti na hapo awali.
fat1
                     Pichani ni Fat Joe Kabla na   baada ya kupungua uzito
FAT JOE AWATAKA RICK ROSS NA DJ KHALED WAPUNGUZE UBONGE FAT JOE AWATAKA RICK ROSS NA DJ KHALED WAPUNGUZE UBONGE Reviewed by crispaseve on 22:42 Rating: 5

No comments

Post AD