ETI HII NDIO SIFA KUU YA LAVEDA NI......KUJIPIGA PUNYETO HADHARANI
![]() |
| Laveda akusanya virago vyake |
Hivi
ni kujipendekeza ama ni pombe daaaah, alichokifanya Laveda wale wenzake
wa karibu akija msijifanye mnamkebehi, mwambieni vyote vilivyomuhusu
first, kuchukiwa na housemates wenzie kwakujiona bora na upuuzi
mwingine,mimi wala siwalaumu multchoice Tz, huwa wanawapa lectures
vizuri tuu ila wakifika huko wanawehuka, mtu kujipigaje punyeto
hadharani mtoto wa kike? kweli umdhaniaye ndiye kumbe siye..... karibu
nyumbani mwayego ....umevuna ulichokipanda...
hivi
wapendwa kuna umuhimu wa multichoice kuchunguza background ya mshiriki
kabla hawajampitisha..?? wanasema binaadam hakuna aliyemkamilifu ila
kuna tabia nyingine huwa hazivumiliki ujueee sasa hii ya kujipiga
punyeto hadharani vidole vya Laveda kumbe vina kazi nyingi....
wakati
Idris akiwa nominated hebu tumpe support i jus dont know why i didnt
like Laveda's game ever since, daah hajipendi mwili wake yaani alikuwa
yupo yupo tuu... hivi kweli alikuwa anawakilisha Ladies in Bongo??? BIG
NO mie hajaniwakilisha......
ETI HII NDIO SIFA KUU YA LAVEDA NI......KUJIPIGA PUNYETO HADHARANI
Reviewed by crispaseve
on
03:43
Rating:
Reviewed by crispaseve
on
03:43
Rating:


Post a Comment