Header AD

MUONGOZAJI WA FILAMU BENII OTIENO AFARIKI DUNIA

 
Mdogo wa aliyekuwa muigizaji na muongozaji wa filamu marehemu George Otieno ‘Tyson’ aitwaye Benson Okumu Otieno 'Benii' enzi za uhai wake.


Mdogo wa aliyekuwa muigizaji na muongozaji wa filamu marehemu George Otieno ‘Tyson’ aitwaye Benson Okumu Otieno 'Benii' amefariki dunia ghafla katika Hospitali ya Jeshi ya Lugalo, Dar mchana leo. Msiba upo Sinza Vatican
Benii alikuwa muigizaji na muongozaji wa filamu mbalimbali nchini. Mipango ya mazishi ya kumpeleka kwao Kenya
BamizaBlog tunatoa pole kwa familia ya Benson Okumu Otieno, ndugu jamaana marafiki, Bwana ametoa , Bwana ametwaa jina lake…
MUONGOZAJI WA FILAMU BENII OTIENO AFARIKI DUNIA MUONGOZAJI WA FILAMU BENII OTIENO AFARIKI DUNIA Reviewed by crispaseve on 13:26 Rating: 5

No comments

Post AD