Angalia Unyanyasaji wa watoto kwa wadada wa kazi (yaya)
Post by Adili Mkwela.
Tafadhali naomba uiangalie hiyo Video Clip niliyo kutumia hapo ni Muhimu sana kuliko vitu vyote ambavyo nimesha wahi kutuma kwako na kisha Tafadhali sambaza kwa watu wote ulionao kwenye what's app yako na Groups zote mpaka tujue hili swala limefikia wapi na kuhusu #Unyanyasaji wa #Watoto
NB:Tafadhali sambaza hata kama ni Nje ya Tanzania ndugu yangu mpaka tupate muafaka wa huo #Unyama & Pia iwafikia wazazi wote ambao hawajipangi!.
1.Nunua BabyCam na Uitege mahali ambako hata huyo #Dada hataigusa.
2.Kuwa na Jirani ambaye angalau atakuwa anapita mara kwa mara kuwaangalia wanaendeleaje hata kama unamlipa ( Mtoto ni #Priceless )
3.Piga simu Nyumbani mara kwa mara kujua hali ya mtoto kama Amekula etc.
4.Jenga Tabia ya Kurudi Nyumbani Muda Tofauti upatapo nafasi ofisini ( Surprise ) kwamba #Dada Asijue Muda wako rasmi wa kurudi nyumbani!.
Angalia Unyanyasaji wa watoto kwa wadada wa kazi (yaya)
Reviewed by crispaseve
on
06:54
Rating:

Post a Comment