BODI YA FILAMU TANZANIA YAZITAKA KAMPUNI ZA FILAMU KUZINGATIA SHERIA NA KANUNI ZA FILAMU.
Katibu Bodi ya Filamu Tanzania, Bi. Joyce Fissoo akiongea
na wahusijka wa Kampuni ya Kajala Entertainment wakati alipofanya nao
mkutano leo ofisini kwake jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kuwapa
Sheria na Kanuni zilizokiukwa katika filamu ya Mbwa Mwitu.
Mkurugenzi
wa Kampuni ya Kajala Entertainment, Kajala Masanja akijitetea mbele ya
Katibu wa Bodi ya Filamu Tanzania wakati aliitikia wito wa Ofisi ya Bodi
hiyo leo jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kuelezwa juu ya Sheria na
Kanuni zilizokiukwa katika filamu yake ya Mbwa Mwitu.
Mkurugenzi wa
Kampuni ya Kajala Entertainment, Kajala Masanja akiweka sahihi ya
kukubali kufanya marekebisho katika filamu yake pamoja na malipo ya
faini mbele ya Katibu wa Bodi ya Filamu Tanzania wakati aliitikia wito
wa Ofisi ya Bodi hiyo leo jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kuelezwa juu
ya Sheria na Kanuni zilizokiukwa katika filamu yake ya Mbwa Mwitu.
Meneja ambaye pia
ni Mratibu wa Kampuni ya Kajala Entertainment, Bi. Leah Mwendamseke
akiweka sahihi katika fomu maalum ya kukubali kufanya marekebisho katika
filamu iliyokaguliwa na Bodi hiyo mbele ya Katibu wa Bodi ya Filamu
Tanzania wakati aliitikia wito wa Ofisi ya Bodi hiyo leo jijini Dar es
Salaam kwa ajili ya kuelezwa juu ya Sheria na Kanuni zilizokiukwa katika
filamu ya Mbwa Mwitu.
Katibu Bodi ya Filamu Tanzania, Bi. Joyce Fissoo akiagana
na Mkurugenzi wa Kampuni ya Kajala Entertainment wakati alipofanya naye
mkutano leo ofisini kwake jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kuwapa
Sheria na Kanuni zilizokiukwa katika filamu ya Mbwa Mwitu.(PICHA ZOTE NA BENEDICT LIWENGA, MAELEZO-DSM)
BODI YA FILAMU TANZANIA YAZITAKA KAMPUNI ZA FILAMU KUZINGATIA SHERIA NA KANUNI ZA FILAMU.
Reviewed by crispaseve
on
23:58
Rating:

Post a Comment