SHEREHE ZA UZINDUZI WA STUDIO ZA KITUO KIPYA CHA UTANGAZAJI GHETTO RADIO TANZANIA ZAFANA
Meneja
wa Ghetto Radio ya Sibuka FM 94.5 Bw. Edward Rukaka aliyeshika Mkasi
,akiizindua Rasmi Studio hiyo na kuitambulisha kwa wadau. kushoto ni
Mwenyekiti wa Bodi ya Bahati nasibu Tanzania Bw. Abbas Tarimba
akishuhudia uzinduzi huo.

Mkurugenzi
wa Ghetto Radio Kenya Bw. Majimaji akizungumza wakati wa usiku wa
kuzindua Rasmi Studio ya Kurushia matangazo ya Radio ya Ghetto Radio ya
Sibuka FM Nchini Tanzania hivi karibuni
Mkurugenzi wa Sibuka George Nangali kulia akiwa na
Mkurugenzi wa Ghetto Radio Matt Brouwer wakati wa Sherehe Fupi za uzinduzi wa Studio hiyo iliyopo mtaa wa Hananasifu Kinondoni.

Katikati ni Balozi wa Ghetto Radio ya Sibuka FM Msanii mkongwe wa Muziki wa Bongo Fleva Juma Nature wakati wa uzinduzi huo
Mkurugenzi wa Ghetto Radio Matt Brouwer wakati wa Sherehe Fupi za uzinduzi wa Studio hiyo iliyopo mtaa wa Hananasifu Kinondoni.

SHEREHE ZA UZINDUZI WA STUDIO ZA KITUO KIPYA CHA UTANGAZAJI GHETTO RADIO TANZANIA ZAFANA
Reviewed by crispaseve
on
12:42
Rating:
Reviewed by crispaseve
on
12:42
Rating:


Post a Comment