Airtel yawapatia kundi la walemavu mtaji na mafunzo ya biashara

Naibu
Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, January Makamba akikata
utepe kama ishara ya kukabidhi vibanda vya kisasa vya Airtel Money kwa
watu wenye ulemavu, wanachama wa Taasisi ya Haki za Binadamu na
Maendeleo Watu wenye Ulemavu (HREDP), kwa ajili kuwawezesha kuwa
wafanyabiashara wajasiriamari, katika hafla iliyofanyika kwenye Shule ya
Msingi Buguruni Viziwi jijini Dar es Salaam jana. Kulia kwake ni
Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Airtel, Beatrice Singano Mallya na (kulia)
ni Mwenyekiti wa Taasisi hiyo, Abubakar Rakesh na mnufaika wa kibanda
hicho, Hebron Mwansele (kwenye baiskeli).

Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, January Makamba akihutubia wakati wa hafla hiyo.

Sehemu wa wanachama wa Taasisi ya Haki za Binadamu na Maendeleo Watu wenye Ulemavu (HREDP), wakiwa katika hafla hiyo.
Airtel yawapatia kundi la walemavu mtaji na mafunzo ya biashara
Reviewed by crispaseve
on
06:33
Rating:
Reviewed by crispaseve
on
06:33
Rating:

Post a Comment