Rais Jakaya Kikwete Akiongea Kwa Simu na Kumpongeza Mshindi wa Shindano La Mwaka Huu la Televisheni la Big Brother Africa Idris Sultani

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongea kwa simu na Idris Sultani,
mshindi wa shindano la mwaka huu la Televisheni la Big Brother Africa
wakati alipokuwa na msanii Naseeb Abdul “Diamond” aliyemuonesha tuzo
tano za muziki za kimataifa alizoshinda mwaka huu, Ikulu jijini Dar es
salaam janaJumanne
Rais Jakaya Kikwete Akiongea Kwa Simu na Kumpongeza Mshindi wa Shindano La Mwaka Huu la Televisheni la Big Brother Africa Idris Sultani
Reviewed by crispaseve
on
08:58
Rating:
Reviewed by crispaseve
on
08:58
Rating:

Post a Comment