UZINDUZI WA MUONEKANO MPYA WA BIA YA BALIMI MKOANI KIGOMA
Meneja wa Bia ya Balimi Extra Lager, Edith Bebwa akizungumza na wageni waalikwa wakati wa uzinduzi wa muonekano mpya wa Bia wa Balimi Extra Lager uliofanyika katika Ukumbi wa Kibo Peak Hotel Kigoma mjini.Mkuu wa Wilaya ya Kigoma, John Mongele (kushoto) akizungumza na wageni waalikwa wakati wa uzinduzi wa muonekano mpya wa Bia wa Balimi Extra Lager uliofanyika katika Ukumbi wa Kibo Peak Hotel Kigoma Mjini
Meneja wa Bia ya Balimi Extra Lager, Edith Bebwa akigonganisha chupa na baadhi ya wageni waalikwa wakati wa uzinduzi wa muonekano mpya wa Bia wa Balimi Extra Lager uliofanyika katika Ukumbi wa Kibo Peak Hotel Kigoma Mjini jana.
Wacheza shoo wa Kampuni ya Promotion ya Intergrated Comminications wakicheza wakati wa uzinduzi wa muonekano mpya wa Bia wa Balimi Extra Lager uliofanyika katika Ukumbi wa Kibo Peak Hotel Kigoma mjini
Reviewed by crispaseve
on
05:37
Rating:
Post a Comment