Header AD

MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL ASHIRIKI CHAKULA CHA JIONI KATIKA MKUTANO WA WAKUU WA NCHI ZA AFRIKA MJINI BOTSWANA

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mohammed Gharib Bilal na Mama Asha Bilal, wakiwasili  kwenye ukumbi wa tafrija ya chakula cha jioni kilichoandaliwa na Rais wa Botswana Lt. General Seretse Khama, kwa viongozi wakuu wa Nchi za Afrika waliohudhuria mkutano wa siku mbili kuhusu maendeleo endelevu ya Bara la Afrika Nchini Gaborone Botswana, jana. 
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mohammed Gharib Bilal na mkewe Mama Asha Bilal, wakiwa kwenye tafrija iliyoandaliwa na Rais wa Botswana Lt. General Seretse Khama, kwa ajili ya viongozi wakuu wa Nchi za Afrika waliohudhuria mkutano kuhusu maendeleo endelevu kwa Bara la Afrika jana jioni.
 

Wasanii wa kikundi cha ngoma za utamaduni cha nchini Botswana wakitumbuiza kwenye hafla ya chkula cha jioni iliyoandaliwa maalum kwa wakuu wa nchi za Afrika waliohudhuria mkutano wa wakuu wa nchi za Afrika kuhusu maendeleo endelevu ya Bara la Afrikamjini Gaborone Botswana.
Reviewed by crispaseve on 09:53 Rating: 5

No comments

Post AD